1
Wagalatia 6:9
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Tusichoke kutenda mema; kwa maana siku zitakapotimia tutavuna kama tusiporegea.
तुलना
अन्वेषण गर्नुहोस् Wagalatia 6:9
2
Wagalatia 6:10
Basi, tunapokuwa bado na wakati, tufanye mema kwa watu wote, na zaidi kwa wandugu zetu katika imani.
अन्वेषण गर्नुहोस् Wagalatia 6:10
3
Wagalatia 6:2
Musaidiane ninyi kubeba mizigo yenu, na hivi mutatimiza sheria ya Kristo.
अन्वेषण गर्नुहोस् Wagalatia 6:2
4
Wagalatia 6:7
Musidanganyike: Mungu hachekelewi. Chochote mutu atakachopanda, ndicho atakachovuna.
अन्वेषण गर्नुहोस् Wagalatia 6:7
5
Wagalatia 6:8
Anayepanda kwa kupendeza hali yake ya kimwili, atavuna matunda yanayotokana na hali ile, nayo ni lufu. Lakini anayepanda kwa kupendeza Roho Mutakatifu, atavuna matunda yanayotokana na Roho yule, nayo ni uzima wa milele.
अन्वेषण गर्नुहोस् Wagalatia 6:8
6
Wagalatia 6:1
Wandugu zangu, kama mutu akipatikana na kosa fulani, ninyi munaoongozwa na Roho wa Mungu mumwonye mutu yule kwa roho ya upole. Na kila mumoja wenu ajiangalie mwenyewe, kusudi asijaribiwe vilevile.
अन्वेषण गर्नुहोस् Wagalatia 6:1
7
Wagalatia 6:3-5
Kama mutu akijizania kwamba yeye ni kitu, ijapokuwa yeye si kitu, anajidanganya yeye mwenyewe. Kila mutu achunguze mwenendo wake mwenyewe. Basi akiwa na sababu ya kujivuna, ajivune kufuatana na mwenendo wake mwenyewe pasipo kujilinganisha na mutu mwingine. Kwa maana kila mutu anapaswa kubeba muzigo wake mwenyewe.
अन्वेषण गर्नुहोस् Wagalatia 6:3-5