Somabiblia Kila Siku 3နမူနာ

Bwana, kama ungalikuwapo hapa, ndugu yangu hangalikufa (m.21 na 32). Kwa macho ya kibinadamu Bwana Yesu alichelewa. Lakini Yesu alijua yote tokea mbali (m.11-15). Na ilikuwa ni hatari kwa Yesu kwenda Bethania (m.7-8 na 16). Lakini upendo wake kwa wafiwa ulimsukuma aende (m.3 na 5)! Martha alipoonyesha imani yake juu ya ufufuo siku ya mwisho (m. 23f), Yesu alimfundisha akisema: Mimi ndimi huo ufufuo na uzima. Yeye aniaminiye mimi, ajapokufa, atakuwa anaishi(m.25f)! Je, unasadiki hayo?
က်မ္းစာမ်ား
ဤအစီအစဥ္အေၾကာင္း

SomaBiblia Kila Siku 3 ni mpango mzuri wa kukusaidia kusoma Biblia kwa njia rahisi. Ufafanuzi wa somo la kila siku unakupa mwanga na kiu ya kuendelea kulitafakari Neno la Mungu ukiwa peke yako au pamoja na wenzako.
More
စပ္ဆိုင္ေသာ အစီအစဥ္မ်ား

ဖတ်သောအရာကို နားလည်ပါသလား

BibleProject | ယေရှုနှင့် လူသားမျိုးနွယ်သစ်

ယေရှု၏ ဘုရားဇာတိတော်ကို အတည်ပြုသောအကြောင်း (၅) ရပ်

ဝိညာဥ်ကြီးထွားခြင်းကို တည်ဆောက်ပေးသော အလေ့အကျင့် (၇)ခု

BibleProject | ဘုရားသခင်၏ထာဝရမေတ္တာ

ဉာဏ်အရာ၌ အသက်ကြီးသောသူ ဖြစ်ကြလော့

BibleProject | ကားစင်တင်ခြင်းခံဘုရင်

ဆာလံကျမ်း ၁၁၉ အရ၊ နှုတ်ကပတ်တော်တရား

BibleProject | ပဋိညာဉ်သစ်၊ ပညာသစ်
