Yeremia 5:7
Yeremia 5:7 NENO
“Kwa nini niwasamehe? Watoto wenu wameniacha kwa kuapa kwa miungu batili. Niliwapatia mahitaji yao yote, lakini bado wamefanya uzinzi na kusongamana katika nyumba za makahaba.
“Kwa nini niwasamehe? Watoto wenu wameniacha kwa kuapa kwa miungu batili. Niliwapatia mahitaji yao yote, lakini bado wamefanya uzinzi na kusongamana katika nyumba za makahaba.