YouVersion လိုဂို
ရွာရန္ အိုင္ကြန္

Luka 5:12-13

Luka 5:12-13 RSUVDC

Ikawa, alipokuwa katika mmojawapo wa miji ile, tazama, palikuwa na mtu amejaa ukoma; naye alipomwona Yesu alianguka kifudifudi, akamwomba akisema, Bwana, ukitaka, waweza kunitakasa. Naye akaunyosha mkono wake, akamgusa akisema, Nataka; takasika. Na mara ukoma wake ukamwondoka.

Luka 5:12-13 အေၾကာင္း ဗီဒီယိုမ်ား