1
Marko MT. 4:39-40
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
SWZZB1921
Akaamka: akaukemea upepo, akaiambia bahari, Nyamaza, tulia. Upepo nkakoma, kukuwa shwari kuu. Akawaambia, Mbona mu waoga? Hamna imani bado?
ႏွိုင္းယွဥ္
Marko MT. 4:39-40ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
2
Marko MT. 4:41
Wakaingizwa na khofu kuu, wakaambiana, Ni nani huyu, bassi, hatta upepo na bahari zamtii?
Marko MT. 4:41ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
3
Marko MT. 4:38
Yeye mwenyewe alikuwa katika shetri, amelala juu ya mto: wakamwamsha, wakamwambia, Mwalimu, si kitu kwako kuwa tunapotea?
Marko MT. 4:38ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
4
Marko MT. 4:24
Akawaambia, Tafakarini msikialo, kipimo mpimacho mtapimiwa kile kile, na bado mtazidishiwa.
Marko MT. 4:24ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
5
Marko MT. 4:26-27
Akanena, Ufalme wa Mungu, mithili yake ni mtu aliyemwaga mbegu juu ya inchi: akawa akilala na kuondoka, usiku na mchana, nayo mbegu ikimea na kukua, asivyojua yeye.
Marko MT. 4:26-27ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
6
Marko MT. 4:23
Mtu akiwa na masikio ya kusikilia, na asikie.
Marko MT. 4:23ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
ပင္မစာမ်က္ႏွာ
သမၼာက်မ္းစာ
အစီအစဥ္မ်ား
ဗီဒီယိုမ်ား