1
Marko MT. 11:24
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
SWZZB1921
Kwa sababu biyo nawaambieni, Yo yote myaombayo mkisali, aminini ya kwamba mnayapokea nayo yatakuwa yenu.
ႏွိုင္းယွဥ္
Marko MT. 11:24ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
2
Marko MT. 11:23
Amin, nawaambieni, Ye yote atakaenambia mlima huu, Ngʼoka ukatupwe baharini, asione shaka moyoni mwake, bali aamini kwamba hayo asemayo yamekuwa, yatamtukia hayohayo aliyosema.
Marko MT. 11:23ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
3
Marko MT. 11:25
Nanyi, killa msimamapo na kusali, sameheni, kama mkiwa na neno juu ya mtu: illi Baba yenu aliye mbinguni awasamehe na ninyi makosa yenu.
Marko MT. 11:25ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
4
Marko MT. 11:22
Yesu akajibu, akamwambia, Mwe na imani kwa Mungu
Marko MT. 11:22ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
5
Marko MT. 11:17
Akafundisha, akiwaambia, Haikuandikwa, Nyumba yangu itaitwa nyumba ya sala kwa mataifa yote? Bali nanyi mmeifanya kuwa pango ya wanyangʼanyi.
Marko MT. 11:17ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
6
Marko MT. 11:9
Watu waliotangulia na wale waliofuata wakapaaza sauti zao, wakinena, Utuokoe sasa; amebarikiwa ajae kwa jina la Bwana
Marko MT. 11:9ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
7
Marko MT. 11:10
umebarikiwa ufalme ujao kwa jina la Bwana, ufalme wa baba yetu Daud. Utuokoe sasa, wewe uliye juu.
Marko MT. 11:10ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
ပင္မစာမ်က္ႏွာ
သမၼာက်မ္းစာ
အစီအစဥ္မ်ား
ဗီဒီယိုမ်ား