1
Luka 9:23
BIBLIA KISWAHILI
RSUVDC
Akawaambia wote, Mtu yeyote akitaka kunifuata, na ajikane mwenyewe, ajitwike msalaba wake kila siku, anifuate.
ႏွိုင္းယွဥ္
Luka 9:23ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
2
Luka 9:24
Kwa kuwa mtu atakaye kuiponya nafsi yake ataiangamiza, na mtu atakayeiangamiza nafsi yake kwa ajili yangu ndiye atakayeisalimisha.
Luka 9:24ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
3
Luka 9:62
Yesu akamwambia, Mtu aliyetia mkono wake kulima, kisha akaangalia nyuma, hafai kwa ufalme wa Mungu.
Luka 9:62ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
4
Luka 9:25
Kwa kuwa inamfaa nini mtu kuupata ulimwengu wote, lakini akajiangamiza, au kujipoteza mwenyewe?
Luka 9:25ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
5
Luka 9:26
Kwa sababu kila atakayenionea haya mimi na maneno yangu, Mwana wa Adamu atamwonea haya mtu huyo, atakapokuja katika utukufu wake na wa Baba na wa malaika watakatifu.
Luka 9:26ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
6
Luka 9:58
Yesu akamwambia, Mbweha wana pango, na ndege wa angani wana viota, lakini Mwana wa Adamu hana pa kujilaza kichwa chake.
Luka 9:58ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
7
Luka 9:48
akawaambia, Yeyote atakayempokea mtoto huyu kwa jina langu anipokea mimi; na yeyote atakayenipokea mimi ampokea yeye aliyenituma. Kwa kuwa aliye mdogo miongoni mwenu nyote huyo ndiye mkubwa.
Luka 9:48ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
ပင္မစာမ်က္ႏွာ
သမၼာက်မ္းစာ
အစီအစဥ္မ်ား
ဗီဒီယိုမ်ား