1
Luka 24:49
BIBLIA KISWAHILI
RSUVDC
Na tazama, nawaletea juu yenu ahadi ya Baba yangu; lakini kaeni humu mjini, hadi mvikwe uwezo utokao juu.
ႏွိုင္းယွဥ္
Luka 24:49ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
2
Luka 24:6
Hayupo hapa, amefufuka. Kumbukeni alivyosema nanyi alipokuwa bado yuko Galilaya
Luka 24:6ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
3
Luka 24:31-32
Yakafumbuliwa macho yao, wakamtambua; kisha akatoweka mbele yao. Wakaambiana, Je! Mioyo yetu haikuwaka ndani yetu hapo alipokuwa akisema nasi njiani, na kutufunulia Maandiko?
Luka 24:31-32ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
4
Luka 24:46-47
Akawaambia, Ndivyo ilivyoandikwa, kwamba Kristo atateswa na kufufuka siku ya tatu; na kwamba mataifa yote watahubiriwa kwa jina lake habari ya toba na ondoleo la dhambi, kuanza tangu Yerusalemu.
Luka 24:46-47ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
5
Luka 24:2-3
Wakalikuta lile jiwe limevingirishwa mbali na kaburi, Wakaingia, wasiuone mwili wa Bwana Yesu.
Luka 24:2-3ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
ပင္မစာမ်က္ႏွာ
သမၼာက်မ္းစာ
အစီအစဥ္မ်ား
ဗီဒီယိုမ်ား