1
Luka 15:20
BIBLIA KISWAHILI
RSUVDC
Akaondoka, akaenda kwa babaye. Alipokuwa bado mbali, baba yake alimwona, akamwonea huruma, akaenda mbio akamwangukia shingoni, akambusu.
ႏွိုင္းယွဥ္
Luka 15:20ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
2
Luka 15:24
kwa kuwa huyu mwanangu alikuwa amekufa, naye amefufuka; alikuwa amepotea, naye ameonekana. Wakaanza kushangilia.
Luka 15:24ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
3
Luka 15:7
Nawaambia, Vivyo hivyo kutakuwa na furaha mbinguni kwa ajili ya mwenye dhambi mmoja atubuye, kuliko kwa ajili ya wenye haki tisini na tisa ambao hawana haja ya kutubu.
Luka 15:7ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
4
Luka 15:18
Nitaondoka, nitakwenda kwa baba yangu na kumwambia, Baba, nimekosa juu ya mbingu na mbele yako
Luka 15:18ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
5
Luka 15:21
Yule mwana akamwambia, Baba, nimekosa juu ya mbingu na mbele yako; sistahili kuitwa mwana wako tena.
Luka 15:21ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
6
Luka 15:4
Ni nani kwenu, mwenye kondoo mia, akipotewa na mmojawapo, asiyewaacha wale tisini na tisa nyikani, aende akamtafute yule aliyepotea hadi amwone?
Luka 15:4ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
ပင္မစာမ်က္ႏွာ
သမၼာက်မ္းစာ
အစီအစဥ္မ်ား
ဗီဒီယိုမ်ား