1
Luka 11:13
BIBLIA KISWAHILI
RSUVDC
Basi, ikiwa ninyi mlio waovu mnajua kuwapa watoto wenu zawadi nzuri, je! Baba aliye mbinguni hatazidi sana kuwapa Roho Mtakatifu hao wamwombao?
ႏွိုင္းယွဥ္
Luka 11:13ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
2
Luka 11:9
Nami nawaambia, Ombeni, nanyi mtapewa; tafuteni, nanyi mtaona; bisheni, nanyi mtafunguliwa.
Luka 11:9ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
3
Luka 11:10
Kwa kuwa kila aombaye hupokea; naye atafutaye huona; naye abishaye atafunguliwa.
Luka 11:10ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
4
Luka 11:2
Akawaambia, Msalipo, semeni, Baba [yetu uliye mbinguni], Jina lako litakaswe, Ufalme wako uje, [Mapenzi yako yatimizwe, hapa duniani kama huko mbinguni.]
Luka 11:2ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
5
Luka 11:4
Utusamehe dhambi zetu, kwa kuwa sisi nasi tunamsamehe kila tumwiaye. Na usitutie majaribuni [lakini tuokoe na yule mwovu].
Luka 11:4ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
6
Luka 11:3
Utupe siku kwa siku riziki yetu.
Luka 11:3ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
7
Luka 11:34
Taa ya mwili ni jicho; basi jicho lako likiwa safi, mwili wako wote unao mwanga; lakini likiwa bovu, mwili wako nao una giza.
Luka 11:34ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
8
Luka 11:33
Hakuna mtu awashaye taa na kuiweka mahali palipositirika, au chini ya pishi; bali huiweka juu ya kiango, ili waingiao wapate kuuona mwanga.
Luka 11:33ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
ပင္မစာမ်က္ႏွာ
သမၼာက်မ္းစာ
အစီအစဥ္မ်ား
ဗီဒီယိုမ်ား