1
Mattayo MT. 14:30-31
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
SWZZB1921
Lakini alipoona upepo wa nguvu, akaogopa: akaanza kuzama, akapiga yowe, akinena, Bwana, niokoe. Marra Yesu akanyosha mkono wake, akamshika, akamwambia, Ewe mwenye imani haba, mbona uliona shaka?
താരതമ്യം
Mattayo MT. 14:30-31 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
2
Mattayo MT. 14:30
Lakini alipoona upepo wa nguvu, akaogopa: akaanza kuzama, akapiga yowe, akinena, Bwana, niokoe.
Mattayo MT. 14:30 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
3
Mattayo MT. 14:27
Marra Yesu akasema nao, akinena, Jipeni moyo; ni mimi; msiogope.
Mattayo MT. 14:27 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
4
Mattayo MT. 14:28-29
Petro akamjibu, akasema, Bwana, ikiwa ni wewe, niamuru nije kwako juu ya maji. Akasema, Njoo. Petro akashuka chomboni, akatembea juu ya maji, illi kumwendea Yesu.
Mattayo MT. 14:28-29 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
5
Mattayo MT. 14:33
Nao waliokuwa ndani ya chombo wakamwendea, wakamsujudia, wakinena, Hakika wewe u Mwana wa Mungu.
Mattayo MT. 14:33 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
6
Mattayo MT. 14:16-17
Yesu akawaambia, Hawana haja kwenda zao, wapeni ninyi kula. Wakamwambia, Hatuna kitu hapa illa mikate mitano na samaki mbili.
Mattayo MT. 14:16-17 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
7
Mattayo MT. 14:18-19
Akasema, Nileteeni vitu vile hapa. Akawaagiza makutano waketi katika majani; akaitwaa ile mikate mitano na zile samaki mbili, akatazama juu mbinguni, akabariki, akamega, akawapa wanafunzi ile mikate, wanafunzi wakawapa makutano.
Mattayo MT. 14:18-19 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
8
Mattayo MT. 14:20
Wakala wote wakashiba: wakayaokota masazo ya vipande vya mikate, vikapu thenashara, vimejaa.
Mattayo MT. 14:20 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
ആദ്യത്തെ സ്ക്രീൻ
വേദപുസ്തകം
പദ്ധതികൾ
വീഡിയോകൾ