1
Rom 9:16
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
SCLDC10
Kwa hiyo, yote hutegemea huruma ya Mungu, na si bidii au mapenzi ya mtu.
താരതമ്യം
Rom 9:16 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
2
Rom 9:15
Maana alimwambia Mose: “Nitamhurumia mtu yeyote ninayetaka kumhurumia; nitamwonea huruma mtu yeyote ninayetaka.”
Rom 9:15 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
3
Rom 9:20
Lakini, ewe binadamu, u nani hata uthubutu kumhoji Mungu? Je, chungu chaweza kumwuliza mfinyanzi wake: “Kwa nini umenitengeneza namna hii?”
Rom 9:20 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
4
Rom 9:18
Ni wazi basi, kwamba Mungu humhurumia yeyote anayetaka kumhurumia, na akipenda kumfanya mtu awe mkaidi, hufanya hivyo.
Rom 9:18 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
5
Rom 9:21
Mfinyanzi anaweza kuutumia udongo apendavyo na kufinyanga vyungu viwili kwa udongo uleule; kimoja kwa matumizi ya heshima, na kingine kwa matumizi ya kawaida.
Rom 9:21 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക