1
Matendo 13:2-3
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
SCLDC10
Walipokuwa wanafanya ibada yao kwa Bwana na kufunga, Roho Mtakatifu akasema: “Niteulieni Barnaba na Saulo kwa ajili ya kazi niliyowaitia.” Basi, baada ya kusali na kufunga zaidi, wakawawekea mikono, wakawaacha waende zao.
താരതമ്യം
Matendo 13:2-3 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
2
Matendo 13:39
na ya kwamba kila mmoja anayemwamini Yesu anasamehewa dhambi zote, jambo ambalo halingewezekana kwa njia ya sheria.
Matendo 13:39 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
3
Matendo 13:47
Maana Bwana alituagiza hivi: ‘Nimekuweka wewe uwe mwanga kwa watu wa mataifa, ili uwaletee watu wokovu pote ulimwenguni.’”
Matendo 13:47 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക