1
Marko 8:35
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
TKU
Kwa kuwa kila anayetaka kuusalimisha uhai wake, ataupoteza, na yeyote atakayeupoteza uhai wake kwa ajili yangu na kwa ajili ya injili atausalimisha.
താരതമ്യം
Marko 8:35 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
2
Marko 8:36
Itampa mtu manufaa gani akiupata ulimwengu wote kisha akaupoteza uhai wake?
Marko 8:36 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
3
Marko 8:34
Kisha Yesu akaliita kundi lote pamoja na wanafunzi wake kwake, akawaambia, “Mtu yeyote akitaka kunifuata, lazima ajikane yeye mwenyewe, na ni lazima auchukue msalaba wake mwenyewe kisha anifuate.
Marko 8:34 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
4
Marko 8:37-38
Mtu anaweza kuubadilisha uhai wake na kitu gani? Hiki ni kizazi chenye dhambi na kisichokuwa na uaminifu. Hivyo, mtu yeyote atakayenionea haya mimi na mafundisho yangu, Mwana wa Adamu naye atamwonea haya mtu huyo siku ile atakaporudi katika utukufu wa Baba yake akiwa na malaika wake watakatifu.”
Marko 8:37-38 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
5
Marko 8:29
Kisha akawauliza wao, “Na ninyi; Je! Mnasema mimi ni nani?” Petro akamjibu, “Wewe ni masihi.”
Marko 8:29 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
ആദ്യത്തെ സ്ക്രീൻ
വേദപുസ്തകം
പദ്ധതികൾ
വീഡിയോകൾ