1
Marko 4:39-40
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
TKU
Kisha akainuka, akaukemea upepo, na akaliamuru ziwa, “Nyamaza Kimya! Tulia!” Upepo ule ukatulia na ziwa nalo likatulia kabisa. Kisha akawaambia, “Kwa nini mnaogopa? Je! Bado hamna imani yoyote?”
താരതമ്യം
Marko 4:39-40 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
2
Marko 4:41
Lakini walikuwa na woga sana, na wakasemezana wao kwa wao, “Ni nani basi huyu ambaye hata upepo na ziwa vinamtii?”
Marko 4:41 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
3
Marko 4:38
lakini Yesu alikuwa amelala nyuma ya mtumbwi akiegemea mto. Wakamwaamsha na kumwambia, “Mwalimu je wewe hujali kwamba tunazama?”
Marko 4:38 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
4
Marko 4:24
Kisha akawaambia, “Zingatieni kwa makini kile mnachokisikia. Kwani jinsi mnavyosikiliza kwa makini, ndivyo mtakavyoelewa na kuzidi kuelewa.
Marko 4:24 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
5
Marko 4:26-27
Yesu akasema, “Hivi ndivyo Ufalme wa Mungu unavyofanana: Mtu mmoja alitoka kwenda kupanda mbegu zake katika udongo shambani. Usiku alienda kulala na asubuhi aliamka na zile mbegu zikiota na kukua; na hakujua jinsi gani hiyo ilifanyika.
Marko 4:26-27 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
6
Marko 4:23
Yeyote mwenye masikio mazuri ni bora asikie.”
Marko 4:23 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
ആദ്യത്തെ സ്ക്രീൻ
വേദപുസ്തകം
പദ്ധതികൾ
വീഡിയോകൾ