1
Mwa 4:7
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
SUV
Kama ukitenda vyema, hutapata kibali? Usipotenda vyema dhambi iko, inakuotea mlangoni, nayo inakutamani wewe, walakini yapasa uishinde.
താരതമ്യം
Mwa 4:7 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
2
Mwa 4:26
Sethi naye akazaa mwana; akamwita jina lake Enoshi. Hapo ndipo watu walipoanza kuliitia Jina la BWANA.
Mwa 4:26 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
3
Mwa 4:9
BWANA akamwambia Kaini, Yuko wapi Habili ndugu yako? Akasema, Sijui, mimi ni mlinzi wa ndugu yangu?
Mwa 4:9 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
4
Mwa 4:10
Akasema, Umefanya nini? Sauti ya damu ya ndugu yako inanililia kutoka katika ardhi.
Mwa 4:10 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
5
Mwa 4:15
BWANA akamwambia, Kwa sababu hiyo ye yote atakayemwua Kaini atalipizwa kisasi mara saba. BWANA akamtia Kaini alama, mtu amwonaye asije akampiga.
Mwa 4:15 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
ആദ്യത്തെ സ്ക്രീൻ
വേദപുസ്തകം
പദ്ധതികൾ
വീഡിയോകൾ