1
Mathayo 11:28
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
TKU
Njooni kwangu ninyi nyote mliochoka kutokana na mizigo mizito mnayolazimishwa kubeba. Nitawapa pumziko.
Mampitaha
Mikaroka Mathayo 11:28
2
Mathayo 11:29
Chukueni nira yangu, jifunzeni kutoka kwangu. Mimi ni mwema na mnyenyekevu katika roho. Nanyi mtaweza kupumzika.
Mikaroka Mathayo 11:29
3
Mathayo 11:30
Ndiyo, nira yangu ni rahisi. Mzigo ninaowapa muubebe ni mwepesi.”
Mikaroka Mathayo 11:30
4
Mathayo 11:27
Baba yangu amenipa kila kitu. Hakuna amjuaye Mwana isipokuwa Baba peke yake. Na hakuna amjuaye Baba isipokuwa Mwana ndiye anayemjua Baba. Na watu pekee watakaomjua Baba ni wale ambao Mwana atachagua kuwaonesha.
Mikaroka Mathayo 11:27
5
Mathayo 11:4-5
Yesu akajibu, “Rudini mkamwambie Yohana yale mliyosikia na kuona: Vipofu wanaona. Viwete wanatembea. Watu wenye magonjwa ya ngozi wanaponywa. Wasiyesikia wanasikia. Wafu wanafufuliwa. Na habari njema inahubiriwa kwa maskini.
Mikaroka Mathayo 11:4-5
6
Mathayo 11:15
Ninyi watu mnaonisikia, sikilizeni!
Mikaroka Mathayo 11:15
Fidirana
Baiboly
Planina
Horonan-tsary