Mwanzo 11:6-7

Mwanzo 11:6-7 BHN

Mwenyezi-Mungu akasema, “Tazama, watu hawa ni taifa moja na wote wana lugha moja; huu ni mwanzo tu wa yale watakayoyafanya. Lolote wanalokusudia kulifanya watafanikiwa. Haya, na tushuke chini na kuivuruga lugha yao ili wasielewane wao kwa wao.”

Mwanzo 11:6-7: 관련 무료 묵상 계획