1
Hesabu 6:24-26
Biblia Habari Njema
BHN
‘Mwenyezi-Mungu awabariki na kuwalinda; Mwenyezi-Mungu awaangalie kwa wema, na kuwafadhili; Mwenyezi-Mungu awaoneshe wema wake na kuwapa amani.’
비교
Hesabu 6:24-26 살펴보기
2
Hesabu 6:27
“Ndivyo watakavyotamka jina langu juu ya Waisraeli, nami nitawabariki.”
Hesabu 6:27 살펴보기
3
Hesabu 6:23
“Mwambie Aroni na wanawe kwamba hivi ndivyo mtakavyowabariki Waisraeli: Mtawaambia
Hesabu 6:23 살펴보기