YouVersion 로고
성경묵상동영상
앱 다운로드
언어 선택
검색 아이콘

Matendo 16 - 인기 성경 구절

1

Matendo 16:31

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Wao wakamjibu, “Mwamini Bwana Yesu nawe utaokolewa pamoja na jamaa yako yote.”

비교

Matendo 16:31 살펴보기

2

Matendo 16:25-26

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Karibu na usiku wa manane Paulo na Sila walikuwa wakisali na kuimba nyimbo za kumsifu Mungu, huku wafungwa wengine wakiwa wanasikiliza. Ghafla, kulitokea mtetemeko mkuu wa ardhi ambao uliitikisa misingi ya gereza. Mara, milango yote ikafunguka na minyororo iliyowafunga hao wafungwa ikaachana.

비교

Matendo 16:25-26 살펴보기

3

Matendo 16:30

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Halafu aliwaongoza nje, akawauliza, “Waheshimiwa, nifanye nini nipate kuokoka?”

비교

Matendo 16:30 살펴보기

4

Matendo 16:27-28

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Askari wa gereza alipoamka na kuiona milango ya gereza imefunguliwa, alidhani kwamba wafungwa wote walikuwa wametoroka, na hivyo akauchomoa upanga wake, akataka kujiua. Lakini Paulo akaita kwa sauti kubwa: “Usijidhuru mwenyewe kwa maana sisi sote tuko hapa.”

비교

Matendo 16:27-28 살펴보기

이전 장
다음 장
YouVersion

매일 하나님과 친밀하게 동행하도록 격려하고 도전하기.

사역

소개

채용 정보

자원 봉사

블로그

기사

유용한 링크

도움

후원

성경 번역본

오디오 성경

성경 언어

오늘의 말씀


디지털 사역

Life.Church
한국어

©2026 Life.Church / YouVersion

개인 정보 취급 정책약관
취약점 공개 프로그램
페이스북트위터인스타그램유튜브핀터레스트