1
Matendo 10:34-35
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
SCLDC10
Hapo Petro akaanza kusema: “Sasa nimetambua kwamba hakika Mungu hana ubaguzi. Mtu wa taifa lolote anayemcha Mungu na kutenda yaliyo sawa anapokelewa naye.
비교
Matendo 10:34-35 살펴보기
2
Matendo 10:43
Manabii wote waliongea juu yake kwamba kila mtu atakayemwamini atasamehewa dhambi zake zote kwa jina lake.”
Matendo 10:43 살펴보기