Habakuki 2:15-16

Habakuki 2:15-16 BHN

Ole wako unayewalewesha jirani zako, na kutia sumu katika divai yao ili upate kuwaona wamekaa uchi. Utajaa aibu badala ya heshima. Utakunywa wewe mwenyewe na kupepesuka! Mwenyezi-Mungu mwenyewe atakulevya, na aibu itaifunika heshima yako!

Habakuki 2 ಓದಿ

ಸಂಬಂಧಿತ ವೀಡಿಯೊಗಳು

Habakuki 2:15-16 ಗೆ ಸಂಬಂಧಿಸಿದ ಉಚಿತ ಓದುವ ಯೋಜನೆಗಳು ಮತ್ತು ಆರಾಧನೆಗಳು