1
Mattayo MT. 25:40
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
SWZZB1921
Na mfalme atajibu, akiwaambia, Amin, nawaambieni. Kadiri mlivyomtendea mmojawapo katika hawo ndugu zangu walio wadogo, mlinitendea mimi.
ತಾಳೆಮಾಡಿ
Mattayo MT. 25:40 ಅನ್ವೇಷಿಸಿ
2
Mattayo MT. 25:21
Bwana wake akamwambia, Vema, mtumishi mwema, na amini: ulikuwa amini kwa machache, nitakuweka juu ya mengi: ingia katika furaha ya bwana wako.
Mattayo MT. 25:21 ಅನ್ವೇಷಿಸಿ
3
Mattayo MT. 25:29
Kwa maana killa aliye na mali atapewa, na kuongezewa: nae asiye nayo, hatta ile aliyo nayo atanyangʼanywa.
Mattayo MT. 25:29 ಅನ್ವೇಷಿಸಿ
4
Mattayo MT. 25:13
Bassi kesheni, maana hamwijui siku wala saa ajapo Mwana wa Adamu.
Mattayo MT. 25:13 ಅನ್ವೇಷಿಸಿ
5
Mattayo MT. 25:35
kwa maana nalikuwa na njaa, mkanipa chakula; nalikuwa na kiu, mkaninywesha; nalikuwa mgeni, mkanikaribisha
Mattayo MT. 25:35 ಅನ್ವೇಷಿಸಿ
6
Mattayo MT. 25:23
Bwana wake akamwambia, Vema, mtumishi mwema na amini: ulikuwa amini kwa machache, nitakuweka juu ya mengi: ingia katika furaha ya bwana wako.
Mattayo MT. 25:23 ಅನ್ವೇಷಿಸಿ
7
Mattayo MT. 25:36
nalikuwa uchi, mkanivika; nalikuwa mgonjwa, mkaja kunitazama; nalikuwa kifungoni, mkanijia.
Mattayo MT. 25:36 ಅನ್ವೇಷಿಸಿ
ಮುಖಪುಟ
ಬೈಬಲ್
ಯೋಜನೆಗಳು
ವೀಡಿಯೊಗಳು