1
Mattayo MT. 21:22
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
SWZZB1921
Na yo yote mtakayoyaomba katika kusali, mkiamini, mtapokea.
ತಾಳೆಮಾಡಿ
Mattayo MT. 21:22 ಅನ್ವೇಷಿಸಿ
2
Mattayo MT. 21:21
Yesu akajibu, akawaambia, Amin, nawaambieni, Mkiwa na imani, msipokuwa na shaka, mtafanya si hilo la mtini tu, lakini hatta mkiuambia mlima huu, Ngʼoka, ukatupwe baharini, itatendeka.
Mattayo MT. 21:21 ಅನ್ವೇಷಿಸಿ
3
Mattayo MT. 21:9
Na makutano waliotangulia, na waliofuata, wakapaaza sauti zao, wakinena, Utuokoe sasa, Mwana wa Daud; amebarikiwa ajae kwa jina la Bwana; Utuokoe sasa wewe uliye juu.
Mattayo MT. 21:9 ಅನ್ವೇಷಿಸಿ
4
Mattayo MT. 21:13
akawaambia, Imeandikwa, Nyumba yangu itakwitwa nyumba ya sala; bali ninyi mmeifanya kuwa pango la wanyangʼanyi.
Mattayo MT. 21:13 ಅನ್ವೇಷಿಸಿ
5
Mattayo MT. 21:5
Mwambieni binti Sayuni, Tazama, mfalme wako anakuja kwako, Mpole, amepanda punda, Na mwana punda, mtoto wa punda.
Mattayo MT. 21:5 ಅನ್ವೇಷಿಸಿ
6
Mattayo MT. 21:42
Yesu akawaambia, Hamkupata kusoma katika maandiko, Jiwe walilolikataa waashi, Hili lilikuwa jiwe kuu la pembeni; Neno hili limetoka kwa Bwana, Nalo ni ajabu machoni petu?
Mattayo MT. 21:42 ಅನ್ವೇಷಿಸಿ
7
Mattayo MT. 21:43
Kwa sababu hii nawaambieni, ya kwamba ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu, na watapewa taifa lingine wenye kuzaa matunda yake.
Mattayo MT. 21:43 ಅನ್ವೇಷಿಸಿ
ಮುಖಪುಟ
ಬೈಬಲ್
ಯೋಜನೆಗಳು
ವೀಡಿಯೊಗಳು