1
Luka MT. 9:23
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
SWZZB1921
Akawaamhia wote, Atakae kuniandama, na ajikane nafsi yake, ajitwike msalaba wake killa siku, anifuate.
ತಾಳೆಮಾಡಿ
Luka MT. 9:23 ಅನ್ವೇಷಿಸಿ
2
Luka MT. 9:24
Kwa maana mtu akitaka kuisalimisha roho yake ataiangamiza, nae atakae kuitoa roho yake kwa ajili yangu, huyu ataisalimisha.
Luka MT. 9:24 ಅನ್ವೇಷಿಸಿ
3
Luka MT. 9:62
Yesu akamwambia, Hakuna mtu aliyetia mkono wake alime, khalafu akatazama nyuma, afaae kwa ufalme wa Mungu.
Luka MT. 9:62 ಅನ್ವೇಷಿಸಿ
4
Luka MT. 9:25
Maana itamfaidia mtu nini kuupata ulimwengu wote na kujipoteza, au kupata khasara ya roho yake?
Luka MT. 9:25 ಅನ್ವೇಷಿಸಿ
5
Luka MT. 9:26
Kwa sababu killa mtu atakaenionea haya mimi na maneno yangu, Mwana wa Adamu atamwonea haya huyo atakapokuja katika utukufu wake, na wa Baba yake, na wa malaika watakatifu.
Luka MT. 9:26 ಅನ್ವೇಷಿಸಿ
6
Luka MT. 9:58
Yesu akamwambia, Mbweha wana matundu, na ndege za anga vioto vyao, bali Mwana wa? Adamu hana pa kujilaza kichwa chake.
Luka MT. 9:58 ಅನ್ವೇಷಿಸಿ
7
Luka MT. 9:48
akawaambia, Killa mtu atakaempokea kitoto hiki kwa jina langu, anipokea mimi, na killa mtu atakaenipokea mimi, ampokea yeye aliyenituma. Maana yeye aliye mdogo miongoni mwenu ninyi nyote, huyu atakuwa mkubwa.
Luka MT. 9:48 ಅನ್ವೇಷಿಸಿ
ಮುಖಪುಟ
ಬೈಬಲ್
ಯೋಜನೆಗಳು
ವೀಡಿಯೊಗಳು