1
Yohana MT. 7:38
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
SWZZB1921
Aniaminiye mimi, kama maandiko yalivyonena, mito ya maji ya uzima itamtoka tumhoni.
ತಾಳೆಮಾಡಿ
Yohana MT. 7:38 ಅನ್ವೇಷಿಸಿ
2
Yohana MT. 7:37
Hatta siku ya mwisho, siku ile kubwa ya siku kuu, Yesu akasimama, akapaaza sauti yake, akinena, Mtu akiona kiu, na aje kwangu anywe.
Yohana MT. 7:37 ಅನ್ವೇಷಿಸಿ
3
Yohana MT. 7:39
Neno hili alilisema katika khabari ya Roho, ambae wale wamwaminio watampokea khalafu: kwa maana Roho Mtakatifu alikuwa bado kuwapo, kwa sababu Yesu alikuwa bado kutukuzwa.
Yohana MT. 7:39 ಅನ್ವೇಷಿಸಿ
4
Yohana MT. 7:24
Msihukumu hukumu ya macho, bali ifanyeni hukumu iliyo ya haki.
Yohana MT. 7:24 ಅನ್ವೇಷಿಸಿ
5
Yohana MT. 7:18
Yeye anenae kwa nafsi yake tu, hutafuta utukufu wake mwenyewe; bali yeye anaetafuta utukufu wake aliyempeleka, huyu ni wa kweli wala ndani yake hamna udhalimu.
Yohana MT. 7:18 ಅನ್ವೇಷಿಸಿ
6
Yohana MT. 7:16
Bassi Yesu akawajibu akasema, Elimu yangu siyo yangu, illa yake yeye aliyenipeleka.
Yohana MT. 7:16 ಅನ್ವೇಷಿಸಿ
7
Yohana MT. 7:7
Ulimwengu hauwezi kuwachukia ninyi: bali hunichukia mimi, kwa sababu mimi naushuhudia ya kuwa kazi zake ni mbovu.
Yohana MT. 7:7 ಅನ್ವೇಷಿಸಿ
ಮುಖಪುಟ
ಬೈಬಲ್
ಯೋಜನೆಗಳು
ವೀಡಿಯೊಗಳು