1
Mwanzo 19:26
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
SCLDC10
Lakini mkewe Loti aliyekuwa nyuma ya Loti, akatazama nyuma, akageuka nguzo ya chumvi.
ತಾಳೆಮಾಡಿ
Mwanzo 19:26 ಅನ್ವೇಷಿಸಿ
2
Mwanzo 19:16
Loti akawa anasitasita. Lakini kwa vile Mwenyezi-Mungu alivyomhurumia Loti, wale malaika wakamshika yeye, mkewe na binti zake wawili, wakamtoa nje ya mji.
Mwanzo 19:16 ಅನ್ವೇಷಿಸಿ
3
Mwanzo 19:17
Walipowatoa nje ya mji, malaika mmoja wao akawaambia, “Kimbieni kwa usalama wenu. Msiangalie nyuma wala kusimama popote bondeni. Kimbilieni milimani, msije mkaangamia.”
Mwanzo 19:17 ಅನ್ವೇಷಿಸಿ
4
Mwanzo 19:29
Mungu alipoiangamiza miji ya bondeni alimokuwa anakaa Loti, alimkumbuka Abrahamu kwa kumtoa Loti katika miji hiyo, ili Loti asije akaangamia pamoja nayo.
Mwanzo 19:29 ಅನ್ವೇಷಿಸಿ