YouVersion Logo
ბიბლიაგეგმებივიდეოები
Get the app
Language Selector
Search Icon

Popular Bible Verses from Marko 15

1

Marko 15:34

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Mnamo saa tisa Yesu alipiga kelele kwa sauti na kusema, “ Eloi, Eloi, lema sabakthani? ” maana yake, “Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?”

Compare

Explore Marko 15:34

2

Marko 15:39

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Yule afisa wa jeshi aliyekuwa amesimama pale mbele na kuona jinsi Yesu alivyokufa. Afisa huyu alisema, “mtu huyu hakika alikuwa mwana wa Mungu!”

Compare

Explore Marko 15:39

3

Marko 15:38

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Hapo pazia la Hekalu lilipasuka vipande viwili kutoka juu hadi chini.

Compare

Explore Marko 15:38

4

Marko 15:37

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Yesu akalia kwa sauti kubwa na kisha akafa.

Compare

Explore Marko 15:37

5

Marko 15:33

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Ilipofika saa sita mchana giza ilifunika nchi yote. Giza liliendelea hadi saa tisa.

Compare

Explore Marko 15:33

6

Marko 15:15

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Pilato alitaka kuwaridhisha watu, kwa hiyo alimweka huru Baraba kwa ajili yao. Akaamuru maaskari wampige Yesu viboko na kisha akamtoa kwao ili akauawe kwenye msalaba.

Compare

Explore Marko 15:15

Free Reading Plans and Devotionals related to Marko 15

Previous Chapter
Next Chapter
YouVersion

Encouraging and challenging you to seek intimacy with God every day.

Ministry

შესახებ

Careers

მოხალისე

Blog

Press

Useful Links

Help

დახმარება

Bible Versions

აუდიო ბიბლიები

Bible Languages

Verse of the Day


A Digital Ministry of

Life.Church
English (US)

©2025 Life.Church / YouVersion

კონფიდენციალურობის წესდებაTerms
Vulnerability Disclosure Program
ფეისბუქიტვიტერზეინსტაგრამიYouTubePinterest

მთავარი

ბიბლია

გეგმები

ვიდეოები