Logo YouVersion
Icona Cerca

Yohana 16:7-8

Yohana 16:7-8 SRB37

Lakini mimi nawaambiani lililo la kweli: Inawafalia, mimi niende zangu. Kwani nisipokwenda zangu, mtuliza mioyo hatawajia. Lakini nitakapokwenda, nitamtuma kwenu. Naye atakapokuja atawaumbua wao wa ulimwengu kuwa wenye makosa wasio nalo la kujikania, wanaopaswa na kuhukumiwa.

Piani di Lettura e Devozionali gratuiti relativi a Yohana 16:7-8