Akara Njirimara YouVersion
Akara Eji Eme Ọchịchọ

Hesabu 21:5

Hesabu 21:5 SWC02

Basi, wakaanza kumunungunikia Mungu na Musa, wakisema: Kwa nini mumetutoa Misri tukuje tukufie humu katika jangwa? Humu hamuna chakula wala maji; nasi tumechokeshwa na chakula hiki cha bure.