Akara Njirimara YouVersion
Akara Eji Eme Ọchịchọ

Luka 13:18-19

Luka 13:18-19 SWC02

Yesu akasema tena: “Ufalme wa Mungu unafanana na nini? Nitaulinganisha na nini? Unafanana na mbegu ya haradali mutu mumoja aliyotwaa na kuipanda katika shamba lake. Ikaota na kuwa muti mukubwa, nao ndege wakakuja kujenga chicha zao katikati ya matawi yake.”