1
Hesabu 12:8
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Mimi ninaongea naye kinywa kwa kinywa, waziwazi na si kwa kutumia mafumbo. Yeye ameliona umbo langu mimi Yawe. Kwa nini, basi, hamukuogopa kusema vibaya juu ya mutumishi wangu Musa?
Lee anya n'etiti ihe abụọ
Nyochaa Hesabu 12:8
2
Hesabu 12:3
(Musa alikuwa mutu munyenyekevu kuliko watu wengine wote waliokuwa katika dunia.)
Nyochaa Hesabu 12:3
3
Hesabu 12:6
Kisha Yawe akawaambia: Musikilize maneno yangu, kama kuna nabii kati yenu, mimi Yawe ninajifahamisha kwake katika maono na kuongea naye katika ndoto.
Nyochaa Hesabu 12:6
4
Hesabu 12:7
Lakini juu ya mutumishi wangu Musa, hali ni tofauti kabisa. Yeye ana madaraka ya kuwatunza watu wangu wote.
Nyochaa Hesabu 12:7