1
Marko 3:35
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Kwa sababu mutu yeyote anayefanya mapenzi ya Mungu, huyu ndiye ndugu yangu, dada yangu na mama yangu.”
Lee anya n'etiti ihe abụọ
Nyochaa Marko 3:35
2
Marko 3:28-29
“Kweli ninawaambia: watu wataweza kusamehewa zambi zao zote na matusi yao yote. Lakini mutu anayemutukana Roho Mutakatifu hatasamehewa hata milele, kwa maana zambi ile inadumu kwa milele.”
Nyochaa Marko 3:28-29
3
Marko 3:24-25
Watu wa ufalme mumoja wakigombana wao kwa wao, ufalme ule utaanguka. Nao watu wa jamaa moja wakigombana wao kwa wao, jamaa ile haitadumu.
Nyochaa Marko 3:24-25
4
Marko 3:11
Na wakati pepo walipomwona Yesu, wakaanguka mbele yake na kulalamika, wakisema: “Wewe ni Mwana wa Mungu.”
Nyochaa Marko 3:11