1
Marko 1:35
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Kesho yake asubui kulipokuwa kungali giza, Yesu akaamuka, akatoka katika muji na kwenda pahali penye ukiwa, kule akaanza kuomba.
Lee anya n'etiti ihe abụọ
Nyochaa Marko 1:35
2
Marko 1:15
Alisema: “Wakati umetimia, na Ufalme wa Mungu ni karibu! Mugeuke toka zambi zenu na kukubali Habari Njema!”
Nyochaa Marko 1:15
3
Marko 1:10-11
Mara moja wakati Yesu alipotoka ndani ya maji, akaona mbingu zinafunguka na Roho Mutakatifu akishuka juu yake kwa mufano wa njiwa. Na sauti ikasikilika toka mbinguni, ikisema: “Wewe ndiwe Mwana wangu mupendwa; ninapendezwa nawe sana.”
Nyochaa Marko 1:10-11
4
Marko 1:8
Mimi nimewabatiza kwa maji, lakini yeye atawabatiza kwa Roho Mutakatifu.”
Nyochaa Marko 1:8
5
Marko 1:17-18
Yesu akawaambia: “Munifuate, nami nitawaweka kwa kazi ya kuopoa watu.” Mara moja wakaacha nyavu zao na kumufuata.
Nyochaa Marko 1:17-18
6
Marko 1:22
Watu waliomusikia walishangaa sana kuona namna alivyofundisha, kwa maana hakuwafundisha sawa na walimu wao wa Sheria, lakini kama mutu mwenye mamlaka.
Nyochaa Marko 1:22