1
Mika 7:18
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Ee Mungu, ni nani anayekuwa kama wewe? Wewe unasemehe zambi za watu wako waliobaki, wala hauyaangalii makosa yao. Hasira yako haidumu milele, lakini unapendelea zaidi kutuonyesha wema wako.
Lee anya n'etiti ihe abụọ
Nyochaa Mika 7:18
2
Mika 7:7
Lakini mimi ninamutumainia Yawe, ninamutazamia Mungu mwenye kuniokoa; Mungu wangu atanisikiliza.
Nyochaa Mika 7:7
3
Mika 7:19
Utatuhurumia tena; utatupilia mbali zambi zetu, utazitupa zote katika vilindi vya bahari.
Nyochaa Mika 7:19