1
Mika 1:3
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Kweli, anakuja kutoka makao yake; atashuka na kutembea juu ya vilele vya dunia.
Lee anya n'etiti ihe abụọ
Nyochaa Mika 1:3
2
Mika 1:1
Hili ni neno la Yawe lilomufikia Mika, wa muji wa Moreseti wakati Yotamu, Ahazi na Hezekia walipokuwa wafalme wa Yuda. Mika aliona mambo yote haya juu ya Samaria na Yerusalema.
Nyochaa Mika 1:1