1
Luka 2:11
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Leo hii Mwokozi amezaliwa kwa ajili yenu katika muji wa Daudi, yeye ndiye Kristo na Bwana.
Lee anya n'etiti ihe abụọ
Nyochaa Luka 2:11
2
Luka 2:10
Lakini malaika akawaambia: “Musiogope, kwa sababu ninawaletea Habari Njema itakayofurahisha sana watu wote.
Nyochaa Luka 2:10
3
Luka 2:14
“Sifa kwa Mungu juu mbinguni, na amani katika dunia kwa watu anaowapenda.”
Nyochaa Luka 2:14
4
Luka 2:52
Na Yesu alizidi kuwa na hekima, na kuongezeka kimo na kuendelea kumupendeza Mungu na watu.
Nyochaa Luka 2:52
5
Luka 2:12
Na hiki ndicho kitambulisho kwenu: mutamukuta mutoto muchanga amefunikwa nguo za kitoto, naye amelalishwa katika sanduku ya kukulishia nyama.”
Nyochaa Luka 2:12
6
Luka 2:8-9
Na katika pande zile, kulikuwa wachungaji kule katika mbuga wakichunga kondoo zao usiku. Na kwa rafla malaika wa Bwana akawatokea, na mwangaza wa utukufu wa Bwana ukawazunguka. Nao wakaogopa sana.
Nyochaa Luka 2:8-9