1
Walawi 17:11
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Itakuwa hivyo kwa sababu uzima wa kiumbe uko katika damu. Nimewaagiza kutolea damu kwenye mazabahu kwa kufanya ibada ya upatanisho kwa ajili ya roho zenu, kwa sababu damu inafanya upatanisho, nao uzima uko katika damu.
Lee anya n'etiti ihe abụọ
Nyochaa Walawi 17:11