1
Yoeli 1:14
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Mutoe amri watu wafunge kula chakula; muwaalike watu kuja kwa mukutano wa kidini. Mukusanye wazee na wakaaji wote wa inchi, katika nyumba ya Yawe, Mungu wenu, na mule mumulilie Yawe.
Lee anya n'etiti ihe abụọ
Nyochaa Yoeli 1:14
2
Yoeli 1:13
Enyi makuhani, muvae magunia kwa kuomboleza, mulie, enyi munaotumika kwenye mazabahu. Muingie katika hekalu muomboleze usiku kucha! Sadaka za chakula na kinywaji zimetoweka katika nyumba ya Mungu.
Nyochaa Yoeli 1:13
3
Yoeli 1:12
Mizabibu imenyauka, mitini imekauka, miti yote ya matunda imekauka. Furaha imetoweka kati ya watu.
Nyochaa Yoeli 1:12