1
Waamuzi 21:25
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Siku hizo hakukukuwa mufalme katika Israeli. Kila mutu alifanya sawa vile alivyotaka.
Lee anya n'etiti ihe abụọ
Nyochaa Waamuzi 21:25
2
Waamuzi 21:1
Waisraeli walikuwa wameapa kule Misipa kwamba hakuna hata mumoja kati yao ambaye angemwachilia binti yake aolewe kwa watu wa kabila la Benjamina.
Nyochaa Waamuzi 21:1