1
Hosea 8:7
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Wanapanda upepo, watavuna zoruba! Mimea yao ya ngano inayokuwa katika mashamba haitatoa ngano yoyote. Na hata kama ikizaa, mazao yake yatakuliwa na wageni.
Lee anya n'etiti ihe abụọ
Nyochaa Hosea 8:7
2
Hosea 8:4
Walijiwekea wafalme bila ruhusa yangu, walijichagulia wakubwa ambao sikuwatambua. Wamejitengenezea miungu ya feza na zahabu, jambo ambalo litawaangamiza.
Nyochaa Hosea 8:4