1
Hosea 6:6
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Maana kitu ninachotaka kwenu ni wema na si sadaka, kumujua Mungu na si kutoa sadaka za kuteketezwa kwa moto.
Lee anya n'etiti ihe abụọ
Nyochaa Hosea 6:6
2
Hosea 6:3
Basi tumutambue, tujikaze sana kumujua Yawe. Kuja kwake ni hakika kama mapambazuko, yeye atatufikia kama vile manyunyu, kama vile mvua za kwanza zinavyolowanisha udongo.
Nyochaa Hosea 6:3
3
Hosea 6:1
Halafu watasema: Tuende tumurudilie Yawe! Yeye mwenyewe ameturarua, lakini yeye mwenyewe atatuponyosha. Yeye mwenyewe ametuumiza, lakini yeye mwenyewe atatunza vidonda.
Nyochaa Hosea 6:1