1
Hosea 4:6
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Watu wangu wameangamia kwa kutonijua, maana wewe kuhani umekataa mafundisho. Nimekukataa kuwa kuhani wangu. Kwa maana umeisahau sheria ya Mungu wako, nami vilevile nitawasahau watoto wako.
Lee anya n'etiti ihe abụọ
Nyochaa Hosea 4:6
2
Hosea 4:1
Musikilize maneno ya Yawe, enyi Waisraeli. Yawe anawashitaki wakaaji wa inchi hii. Hakuna tena uaminifu wala wema katika inchi; hakuna anayemujua Mungu katika inchi hii.
Nyochaa Hosea 4:1