1
Hosea 11:4
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Niliwaongoza kwa huruma, nilishikamana nao kwa upendo; kama baba anavyomunyanyua mutoto mpaka kwenye shavu lake, ndivyo nami nilivyokuwa kwao. Mimi niliinama chini na kuwakulisha.
Lee anya n'etiti ihe abụọ
Nyochaa Hosea 11:4
2
Hosea 11:1
Israeli alipokuwa mutoto, nilimupenda. Kutoka Misri nilimwita mwana wangu.
Nyochaa Hosea 11:1