1
Ezekieli 5:11
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Kwa hiyo, kama vile ninavyoishi, –ni ujumbe wa Bwana wetu Yawe– kwa vile mumechafua Pahali Patakatifu pangu, kwa matendo yenu mabaya na machukizo yenu, mimi nitawaangamiza bila huruma na bila kumwacha mutu yeyote.
Lee anya n'etiti ihe abụọ
Nyochaa Ezekieli 5:11
2
Ezekieli 5:9
Kutokana na machukizo yenu yote nitawaazibu kwa azabu ambayo sijapata kuwapa ninyi na ambayo sitairudilia tena.
Nyochaa Ezekieli 5:9