1
Ezekieli 36:26
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Nitawapa moyo mupya na kuweka roho mupya ndani yenu. Nitauondoa kwenu moyo mugumu kama jiwe na kuwapa moyo musikilivu.
Lee anya n'etiti ihe abụọ
Nyochaa Ezekieli 36:26
2
Ezekieli 36:27
Nitatia roho yangu ndani yenu; nitawafanya mufuate masharti yangu na kushika maagizo yangu.
Nyochaa Ezekieli 36:27
3
Ezekieli 36:25
Nitawanyunyizia maji safi, nanyi mutakuwa safi. Nitawatakasa toka uchafu wenu wote na toka uchafu wa sanamu za miungu yenu yote.
Nyochaa Ezekieli 36:25
4
Ezekieli 36:28
Mutakaa katika inchi niliyopatia wazee wenu. Mutakuwa watu wangu, nami nitakuwa Mungu wenu.
Nyochaa Ezekieli 36:28