1
Kutoka 36:1
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Bezaleli na Oholiabu, pamoja na kila mwanaume ambaye Yawe amemujalia uwezo na akili ya kujua namna ya kufanya kazi zote katika majengo ya hema takatifu, atafanya kazi kulingana na yote ambayo Yawe aliamuru.
Lee anya n'etiti ihe abụọ
Nyochaa Kutoka 36:1
2
Kutoka 36:3
Hao wakapokea kutoka kwa Musa vitu vyote vilivyotolewa na Waisraeli kwa mapenzi yao kwa ajili ya kazi ya hema takatifu. Watu waliendelea kumuletea michango yao kufuatana na mapenzi yao kila asubui.
Nyochaa Kutoka 36:3