1
Kutoka 28:3
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Uwaagize wafundi wote ambao nimewapa maarifa wamutengenezee Haruni nguo kusudi atakaswe kwa ajili ya kazi ya ukuhani.
Lee anya n'etiti ihe abụọ
Nyochaa Kutoka 28:3
2
Kutoka 28:4
Uwaambie wamutengenezee vitu hivi: kifuko cha kifua, kizibao, kanzu, na ingine yenye kupambwa vizuri, kofia na mukaba. Ndugu yako Haruni na wana wake watavaa nguo zile kusudi wanitumikie kama vile makuhani.
Nyochaa Kutoka 28:4