1
Kutoka 1:17
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Lakini kwa sababu wazalishaji wale walimwogopa Mungu, hawakufanya kama vile walivyoamuriwa na mufalme, lakini waliwaacha watoto wanaume wa Waisraeli waishi.
Lee anya n'etiti ihe abụọ
Nyochaa Kutoka 1:17
2
Kutoka 1:12
Lakini kadiri walivyoteswa ndivyo Waisraeli walivyozidi kuongezeka na kuenea katika inchi. Hivyo Wamisri wakawaogopa sana watu wa Israeli.
Nyochaa Kutoka 1:12
3
Kutoka 1:21
Na kwa sababu wazalishaji wale walimwogopa Mungu, Mungu akawajalia kupata jamaa zao wenyewe.
Nyochaa Kutoka 1:21
4
Kutoka 1:8
Basi, kukatokea mufalme mwingine kule Misri ambaye hakumujua Yosefu.
Nyochaa Kutoka 1:8