1
Danieli 1:8
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Lakini Danieli aliamua kutojichafua kwa kula chakula bora cha mufalme na kunywa divai yake. Kwa hiyo, alimwomba yule mukubwa amuruhusu asikule vitu hivyo na kujichafua.
Lee anya n'etiti ihe abụọ
Nyochaa Danieli 1:8
2
Danieli 1:17
Mungu aliwajalia vijana wale wane maarifa na ujuzi katika elimu na hekima. Zaidi ya hayo, alimujalia Danieli ufahamu wa kufasiria maono na ndoto.
Nyochaa Danieli 1:17
3
Danieli 1:9
Basi, Mungu akamujalia Danieli kupendelewa na kuhurumiwa na Aspenazi, yule mukubwa.
Nyochaa Danieli 1:9
4
Danieli 1:20
Jambo lolote la hekima au la maarifa ambalo mufalme aliwauliza alijionea mwenyewe kwamba vijana wale wane walikuwa bora mara kumi kuliko waaguzi na wachawi wote katika utawala wake.
Nyochaa Danieli 1:20